Rais wa Kenya Uhuru
Kenyatta amesisitiza kuwa serikali haitaruhusu maandamano ya ghasia
akitaja yale yanayofanywa na chama cha Upinzani Cord ambayo yamegeuka na
kuwa maandamano na maafisa wa polisi.
Lakini aliongezea kuwa wataruhusu maandamano iwapo yatasalia kuwa ya amani kama ilivyo katika katiba.
Upinzani wa Cord umekuwa akifanya maandamano mara kwa mara ukitaka mabadiliko katika tume ya uchaguzi.

Bw Kenyatta ameutaka upinzani kuzungumza na serikali kuhusu maswala muhimu.''Tumetengeza timu... yetu leteni yenu'',alisema.
Chanzo BBCBOFYA PICHA HAPA CHINI UONE PICHA ZA UCHI BONGO HASA USWAZI
Chapisha Maoni