Featured

Hii sifa sasa......Mwanamuziki Young Killer Nae Kusaini WCB? Hili Ndio Jibu Lake


Hivi karibuni kulizuka tetesi kuwa huenda Young Killer akawa msanii mwingine atakayeungana na timu ya WCB.

Picha aliyoonekana akiwa na Diamond kwenye studio za Wasafi ndiyo iliyosababisha tetesi hizo. Tumemuuliza rapper huyo iwapo tetesi hizi ni za kweli.

“Ile ni picha ambayo kweli ilipigwa tulikuwa pale ofisini kwake na ni picha ambayo ilipigwa kwa maana lakini sio ya kuzungumzia sana kutokana na kwamba mipango inakuja na tunamshukuru mwenyezi Mungu akitia baraka na ikawa sawa nadhani tutazungumza sasa hadharani, lakini ni picha ambayo ilipigwa kwa maana nadhani mwenyezi Mungu akitia nguvu watanzania wataona kitu ambacho kipo,” amesema Young Killer.

BOFYA PICHA HAPA CHINI UONE PICHA ZA UCHI BONGO HASA USWAZI
DON'T FORGET TO LIKE THE PAGE IN ORDER TO GET NEWS UPDATES HAPPEN AROUND THE WORLD

Chapisha Maoni

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright 2025 MATMEDIA.COM | Designed By Code Nirvana Published.. Blogger Templates
Back To Top