Aliyekuwa makamu wa
rais wa Maldives, amehukumiwa kifungo cha miaka kumi na mitano
gerezani, baada ya kupatikana na hatia ya kupanga njama ya kumuua rais
wa nchi hiyo.
Bwana Ahmed Adeed, alipatikana na hatia ya kuhusika na shambulio la bomu, ambalo lililipua boti ya rais Abdulla Yameen mwaka uliopita.
Mapema wiki hii, Bwana Adeeb alihukumiwa kifungo cha miaka kumi gerezani kwa kumiliki silaha.
Yeye ni afisa wa ngazi ya juu zaidi kufungwa kwa tuhuma za ugaidi tangu bwana Yameen alipochaguliwa kuwa rais wa nchi hiyo mwaka wa 2013.

Mawakili wa bwana Adeeb wamesema kuwa watakata rufaa ya hukumu hiyo.
Chanzo BBC BOFYA PICHA HAPA CHINI UONE PICHA ZA UCHI BONGO HASA USWAZI
Chapisha Maoni