Roboti kwa jina
Pepper, iliyotengenezwa kuelewa hisia za watu inatarajiwa kuanza kazi
mpya kama karani wa mapokezi katika hospitali mbili nchini Ubelgiji.
Roboti hiyo itakuwa ya kwanza kuhudumu katika jumba la matibabu baada ya roboti nyengine kuwekwa katika maduka ya uuzaji bidhaa, benki na vituo vya treni.
Hospitali moja inamipango ya kuajiri roboti zaidi kwa miaka 10 ijayo.
Baadhi ya wataalamu wamehoji umuhimu wa roboti za kijamii kama vile Pepper.

Roboti hiyo inaurefu wa kina futi nne na inauwezo wa kutambua sauti za binadamu kwa lugha 20 na inauwezo wa kubaini iwapo inazungumza na mwanamume, mwanamke au mtoto.
Chanzo BBC
BOFYA PICHA HAPA CHINI UONE PICHA ZA UCHI BONGO HASA USWAZI
Chapisha Maoni