Featured

Maandamano yashuhudiwa Kenya


  • Saa 2 zilizopita
 
 Mtu mmoja anaripotiwa kuuawa Kisumu 
 
Waandamanaji wa upinzani nchini Kenya wamefunga barabara kwa kuchoma magurudumu katika mji wa Kisumu ulio magharibi mwa nchi hiyo.

Waandamanaji hao wanataka tume ya uchaguzi nchini Kenya kufanyiwa mabadiliko.
Ghasia hizo zinashuhudiwa licha ya mkuu wa polisi katika mji wa Kisumu kuwaonya watu na kuwataka wazishiriki maandamano hayo.
Ripoti ambazo hazijathibtishwa zinasema kuwa mtu mmoja ameuawa wakati wa maandamano ya mji wa Kisumu.

Chanzo bbc.



BOFYA PICHA HAPA CHINI UONE PICHA ZA UCHI BONGO HASA USWAZI
DON'T FORGET TO LIKE THE PAGE IN ORDER TO GET NEWS UPDATES HAPPEN AROUND THE WORLD

Chapisha Maoni

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright 2025 MATMEDIA.COM | Designed By Code Nirvana Published.. Blogger Templates
Back To Top