Featured

Malecela Aendelea Kuijadili Serikali ya Magufuli...


Waziri Mkuu mstaafu, John Malecela amesema Serikali ya Rais John Magufuli imeanza vizuri mikakati yake na imejengwa katika misingi ya kila kiongozi kuwa na wajibu wa kumhudumia Mtanzania.

 Pamoja na hilo, amesema si sahihi kumfananisha na  mtu mwingine kama aliyekuwa Waziri Mkuu, Edward Sokoine wala Rais wa Kwanza, Mwalimu Julius Nyerere.

 Akizungumza katika mahojiano maalumu yaliyofanyika nyumbani kwake mjini Dodoma, Malecela alisema, “Rais Magufuli katika mambo anayofanya, tusimlinganishe na mtu mwingine, hatutamtendea haki.”


BOFYA PICHA HAPA CHINI UONE PICHA ZA UCHI BONGO HASA USWAZI
DON'T FORGET TO LIKE THE PAGE IN ORDER TO GET NEWS UPDATES HAPPEN AROUND THE WORLD

Chapisha Maoni

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright 2025 MATMEDIA.COM | Designed By Code Nirvana Published.. Blogger Templates
Back To Top