Mto Seine ulioko mjini Paris, Ufaransa, umejaa na kufikia kima cha juu zaidi kuwahi kutokea kwa zaidi ya miaka 30 iliyopita.
Waziri wa Mazingira, Segolene Royale, amewaonya watu kukaa katika hali ya tahadhari wakati huu ambapo Mto Seine unazidi kupanda.
Amesema kuwa ingawa kima cha maji katikati mwa jiji la Paris kinazidi kupunguka lakini kutoweka kwa maji kutafichua madhara mengi zaidi.

Wamekuwa wakishughulikia zaidi ya vitu 250,000 vya thaamani.
Inakisiwa kuwa karibu watu 15 wamefariki kutokana na mafuriko katika mataifa manne ya Ulaya, wengi wao wakiwa kutoka Ujerumani.
Chanzo BBC BOFYA PICHA HAPA CHINI UONE PICHA ZA UCHI BONGO HASA USWAZI
Chapisha Maoni