Featured

Matamshi ya chuki: Wabunge 6 wakamatwa Kenya


  • Dakika 23 zilizopita
Bunge la Kenya 
 
Wabunge sita nchini Kenya wanatarajiwa kuwasilishwa mahakamani kufuatia madai ya kutoa matamshi ya chuki.

Siku ya Jumapili mbunge mmoja anayegemea upande wa serikali alidaiwa kutaka kuuawa kwa aliyekuwa waziri mkuu na kiongozi wa upinzani nchini humo Raila Odinga.
Wabunge wa upinzani nao pia walitoa matamshi kama hayo.
Mkuu wa idara ya jinai Ndegwa Muhoro amewaambia waandishi kwamba polisi watamkamata mtu yeyote anayeeneza matamshi ya chuki.


Chanzo BBC

BOFYA PICHA HAPA CHINI UONE PICHA ZA UCHI BONGO HASA USWAZI
DON'T FORGET TO LIKE THE PAGE IN ORDER TO GET NEWS UPDATES HAPPEN AROUND THE WORLD

Chapisha Maoni

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright 2025 MATMEDIA.COM | Designed By Code Nirvana Published.. Blogger Templates
Back To Top