Featured

Simanzi ya tanda.... Orlando


  • Saa moja iliyopita
 
Mkesha Orlando 
 
Mkesha umefanyika huko Orlando mjini Florida pamoja na maeneo tofauti duniani ili kuwakumbuka waathiriwa wa shambulio katika kilabu moja ya usiku ya wapenzi wa jinsia moja.

Kiongozi mmoja wa kiislamu aliwaambia wale wanaohudhuria mkesha huo kwamba Waislamu wanaungana nao kupinga chuki ,mauaji na uharibifu.
Mikutano kama hiyo pia ilifanyika katika mataifa kama vile Ufaransa,Australia Uingereza na Ujerumani.
Shambulio hilo la kilabu ya usiku lilisababisha mauaji ya watu 49 huku makumi wakijeruhiwa .

Orlando

Mamlaka nchini Marekani inasema kuwa mshambuliaji Omar Mateen aliahidi utiifu kwa kundi la wapiganaji wa Islamic State muda mfupi kabla ya shambulio hilo.
Wateja kadhaa wa Pulse wameviambia vyombo vya habari nchini Marekani kwamba Mateen alikuwa akiingia katika kilabu hiyo mara kwa mara.

Chanzo BBC

BOFYA PICHA HAPA CHINI UONE PICHA ZA UCHI BONGO HASA USWAZI
DON'T FORGET TO LIKE THE PAGE IN ORDER TO GET NEWS UPDATES HAPPEN AROUND THE WORLD

Chapisha Maoni

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright 2025 MATMEDIA.COM | Designed By Code Nirvana Published.. Blogger Templates
Back To Top