Mkesha Orlando
Mkesha umefanyika
huko Orlando mjini Florida pamoja na maeneo tofauti duniani ili
kuwakumbuka waathiriwa wa shambulio katika kilabu moja ya usiku ya
wapenzi wa jinsia moja.
Kiongozi mmoja wa kiislamu aliwaambia wale wanaohudhuria mkesha huo kwamba Waislamu wanaungana nao kupinga chuki ,mauaji na uharibifu.
Mikutano kama hiyo pia ilifanyika katika mataifa kama vile Ufaransa,Australia Uingereza na Ujerumani.
Shambulio hilo la kilabu ya usiku lilisababisha mauaji ya watu 49 huku makumi wakijeruhiwa .
Orlando
Wateja kadhaa wa Pulse wameviambia vyombo vya habari nchini Marekani kwamba Mateen alikuwa akiingia katika kilabu hiyo mara kwa mara.
Chanzo BBC
BOFYA PICHA HAPA CHINI UONE PICHA ZA UCHI BONGO HASA USWAZI
Chapisha Maoni