Balaa hili Dada atengua SWAUMU za watu katikati ya mji Dunia imeisha....
Home » Archives for Juni 2016
Kamanda Sirro: Bado Tunamtafuta Sana Askofu Gwajima, Tumetumia Polisi wa Kimataifa ila Bado, Wananchi Tusaidieni

Kamanda wa polisi jiji la Dar Simon Sirro amesema bado wanamtafuta sana
askofu wa kanisa la ufufuo na uzima Josephat Gwajima na wametumia
mtandao wa polisi wa kimataifa Interpol lakini bado hawajapata majibu.
Amesema walipokea barua kutoka...
Mtuhumiwa kesi ya Mwangosi akana Ungamo Lake Mahakamani

Mtuhumiwa wa mauaji ya aliyekuwa mwandishi wa habari wa Chanel Ten
mkoani hapa, Daudi Mwangosi, Pacificus Simoni ametoa ushahidi wake mbele
ya mahakama na kuieleza kuwa alilazimishwa kusaini ungamo mbele ya
mlinzi wa amani bila kujua...
Mabaki ya EgyptAir yapatikana

Mabaki ya ndege ya EgyptAir yapatikana
Mamlaka ya Misri
inasema mabaki ya ndege ya EgyptAir ambayo ilianguka katika bahari ya
Mediteranian mwezi...
Hakika baada ya MUNGU ni .......tazama hii Roboti kupokea wageni hospitalini Ubelgiji

Saa 4 zilizopita
Pepper
Roboti kwa jina
Pepper, iliyotengenezwa kuelewa hisia za watu inatarajiwa kuanza kazi
mpya kama karani wa mapokezi katika hospitali mbili nchini Ubelgij...
Tazama picha ya wapenzi wa JINSIA MOJA baada ya wenzao kuuwawa katika shambulio la Orlando

Dunia imekwisha Usisahau kumshirikisha mwenzio kwa ku SHARE na ku LIKE iliuendelee kupata habari za mahali popote na Dunia kwa ujumla.
Na Mathayo Mapal...
Muhubiri anayetaka wapenzi wa jinsia moja kuuawa aondoka Australia

Saa moja iliyopita
Sekaleshfar
Muhubiri mmoja wa kiislamu ambaye alisema kwamba wapenzi wa jinsia moja wanafaa kuuawa ameondoka nchini Australia.
Kiongozi
huyo ambaye ni mzaliwa wa Uingereza...
Obama amshtumu Trump kuhusu kuwazuia Waislamu

Dakika 13 zilizopita
Rais wa Marekani,
Barack Obama
Rais wa Marekani,
Barack Obama, ameshtumu vikali matamshi ya mgombea urais kwa tiketi ya
chama cha Republican, Donald Trump, kwamba waislamu wasiruhusiwe kuingia
Marekani....
Simanzi ya tanda.... Orlando

Saa moja iliyopita
Mkesha Orlando
Mkesha umefanyika
huko Orlando mjini Florida pamoja na maeneo tofauti duniani ili
kuwakumbuka waathiriwa wa shambulio katika kilabu moja...
Matamshi ya chuki: Wabunge 6 wakamatwa Kenya

Dakika 23 zilizopita
Bunge la Kenya
Wabunge sita nchini Kenya wanatarajiwa kuwasilishwa mahakamani kufuatia madai ya kutoa matamshi ya chuk...
Malecela Aendelea Kuijadili Serikali ya Magufuli...

Waziri Mkuu mstaafu, John Malecela amesema Serikali ya Rais John
Magufuli imeanza vizuri mikakati yake na imejengwa katika misingi ya
kila kiongozi kuwa na wajibu wa kumhudumia Mtanzan...
Tundu Lissu na Mhariri wa Mawio kizimbani Leo Kwa Uchochezi

Serikali itawafikisha Mahakama ya Kisutu leo, Mbunge wa Singida
Mashariki, Tundu Lissu na mmiliki wa gazeti lililofungiwa la Mawio,
Simon Mkina kwa kuandika habari za uchoche...
Rais Obama afunguka mauaji ya Orlando

Dakika Chache zilizopita
Rais Obama amesema Mateen hakushawishiwa kutoka nje
Rais wa Marekani,
Barack Obama amesema...
'Waislamu hawafai kuingia Marekani' -Trump

.Saa 6 zilizopita
Mgombea wa kiti cha
urais wa chama cha Republican nchini Marekani Donald Trump
Mgombea wa kiti cha
urais wa chama cha Republican nchini Marekani Donald Trump, amesema
mauaji ya watu 50 katika...
Godbless Lema Amnyooshea Kidole Mwigulu Nchemba

Mwigulu Nchemba
WAKATI Rais Dk. John Magufuli akitarajiwa kumwapisha Waziri wa Mambo ya
Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba, Ikulu, Dar es Salaam leo, Mbunge wa
Arusha Mjini, Godbless Lema (Chadema) amemnyooshea...
Inasikitisha hii mpaka Rais Obama alaani mauaji ya Orlando

Saa 4 zilizopita
Rais wa Marekani,Barack Obama amelaani mauaji yaliyotokea Orlando
Rais wa
Marekani,Barack Obama amesema shambulio la risasi katika Klabu ya usiku
mjini Orlando ni...
Wanafunzi wapata kazi ona hii........
Wanafunzi Wafundishana Wenyewe Shule ya Kwedichocho Handeni Baada ya Walimu Kuacha Kazi.
Wakazi
wa kijiji cha Manga kilichopo kata ya Mkata wilayani Handeni wameiomba
serikali kuingilia kati kufuatia walimu wawili wa shule ya msingi...
Hatari hii Basi la Mwendokasi Laua Mlemavu Kariakoo

Mlemavu wa viungo amegongwa na basi la mwendokasi na kufa papo hapo usiku huu, eneo la Kariako...
Hawara wa Mfanyakazi wa ndani Atiwa Mbaroni Akihusishwa na Mauaji ya Aneth Msuya ( Dada wa Bilionea Msuya )

Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limewakamata watu wengine
wawili, akiwamo mpenzi wa mfanyakazi wa ndani wa Aneth Msuya, aliyeuawa
kwa kuchinjwa nyumbani kwak...
Zitto Kabwe Awachokonoa Wabunge Wenzake..Ataka Posho zao Zikatwe Kodi

Kiongozi
wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amewachokoza tena wabunge baada
ya kuitaka Serikali kuanza kukata kodi katika posho za wawakilishi hao
ili kuongeza wigo wa mapat...
Hii sifa sasa......Mwanamuziki Young Killer Nae Kusaini WCB? Hili Ndio Jibu Lake

Hivi karibuni kulizuka tetesi kuwa huenda Young Killer akawa msanii mwingine atakayeungana na timu ya W...
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Bajeti, Hawa Ghasia Akataa Wabunge Kukatwa Kodi Katika Kiinua Mgongo
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Bajeti Hawa Ghasia amedai kuwa kuwakata
kodi kwenye viinua mgongo ni kuwakata kodi mara mbili kwa kuwa
wanakatwa kodi tayari kwenye mishahara yao na ametakaserikali...
Uhuru autaka upinzani katika mazungumzo

Dakika 8 zilizopita
Rais Uhuru Kenyatta
Rais wa Kenya Uhuru
Kenyatta amesisitiza kuwa serikali haitaruhusu maandamano ya ghasia
akitaja yale yanayofanywa na chama cha Upinzani Cord...
Makamu wa rais wa Maldives jela miaka 15

Saa moja iliyopita
Adeed apatikana na hatia ya kupanga njama ya kumuua rais wa nchi hiyo.
Aliyekuwa makamu wa
rais wa Maldives, amehukumiwa kifungo cha miaka kumi na mitano
gerezani,...

Wasichana 500 wa Tanzania wanatumika Asia
Dakika 58 zilizopita
Wasichana 500 wa Tanzania wanatumika Asia
Serikali ya
Tanzania imesema zaidi ya wasichana 500 raia wa nchi hiyo wanatumikishwa
...
Vijana, Wadau Kumchangia aliyemtukana Rais Magufuli

Vijana, wadau na wanaharakati wamefungua vikundi vya mtandao wa kijamii
kwa ajili ya kuchanga fedha za kumsaidia kijana wa Arusha aliyepatikana
na hatia ya kumtukana Rais na kuhukumiwa faini ya Sh7 milioni au
kifung...
Maandamano yashuhudiwa Kenya

Saa 2 zilizopita
Mtu mmoja anaripotiwa kuuawa Kisumu
Waandamanaji wa
upinzani nchini Kenya wamefunga barabara kwa kuchoma magurudumu katika
mji wa Kisumu ulio magharibi...
Rais wa Somalia azuru kambi ya wakimbizi Daadab

Dakika 47 zilizopita
Rais wa Somalia azuru kambi ya wakimbizi Daadab
...
Tanzania Imetolewa na Misri Michuano ya AFCON 2017

June 4 2016 ilikuwa ni siku ambayo timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars
itacheza mchezo wake wa tatu wa Kundi G wa kuwania kufuzu michuano ya
mataifa ya Afrika 2017 AFCON, kwa kucheza na timu ya taifa ya Misri The
Pharaos uwanja wa...
Makubwa haya Waliotimuliwa Udom Waibuka, Watoa ya Moyoni

Jana wawakilishi wa wanafunzi hao ambao waliambatana na viongozi wa
Mtandao wa Wanafunzi Tanzania (TSNP), walisema wanapinga pia hatua ya kutimuliwa chuoni.
Dar/Dodoma. Sakata Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom) limezidi kupanuka baada
ya...
Pigania Ndoa Yako Si Michepuko ya Mumeo..

NIMEIKUTA MAHALI NIKAONA NI VIZURI KU-SHARE
Kuna
dada mmoja nikikuwa namfahamu miaka mingi sana. Kama miama 15. Kipindi
hicho tukiwa ni wasichana wa miaka 25. Dada huyo ghafla akawa na
mahusiano na mume wa dada yangu. Nilimchukia sana....
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani Ya Nchi , Hamad Yussuf Masauni Alalamikiwa na Wabunge Kwa Kutoa Majibu ya Dharau na Kiburi Kwa Wabunge

SIKU chache baada ya Rais John Magufuli kutengua uteuzi wa aliyekuwa
Waziri wa Mambo ya Ndani, Charles Kitwanga kutokana na ulevi, Naibu
Waziri wa Wizara hiyo, Hamad Yussuf Masauni, ameshtakiwa kwa uongozi wa
Bunge akidaiwa kutoa majibu...
Hatari hii Paris yakumbwa na Mafuriko

Dakika 30 zilizopita
Mafuriko nchini Ufaransa
Mto Seine ulioko mjini Paris, Ufaransa, umejaa na kufikia kima cha juu zaidi kuwahi kutokea kwa zaidi ya miaka 30 iliyopita.
Maji yamefurika...
Mohammed Ali Afariki

Dakika 13 zilizopita
Mohamed Ali
Aliyeluwa bondia wa
kwanza maarufu mweney asili ya Kiafrika, Mohammed Ali, wa Marekani
amefariki leo asubuhi akiwa na umri wa miaka 7...
Taarifa toka Ikulu kuhusu uteuzi Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi TANESCO

TAARIFA KWA UMMA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli,
amemteua Dkt. Alex L. Kyaruzi kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa
Shirika la Umeme Tanzania (TANESC...