Saa 3 zilizopita

Wanamgambo wa
IslAmic state wameendesha misururu ya mashambulizi ya mabomu ya kutegwa
ndani ya magari ndani na nje mwa mji mkuu Baghdad ambayo yamesababisha
vifo vya takriban watu 20.
Mmoja wa washambuliaji wa kujitoa mhanga alilenga kizuizi cha kijeshi katika eneo lenye washia wengi la Shaab.

Watu kadha wamejeruhiwa kwenye mashambulizi hayo.
Islamic State imeongeza mashambulizi ya kujitoa mhanga mjini Baghdad miezi ya hivi karibuni, wakati ikikabiliwa na mashambulizi ya serikali kwenye jitihada za kukomboa maeneo wanayoyadhibiti.BOFYA PICHA HAPA CHINI UONE PICHA ZA UCHI BONGO HASA USWAZI
Chapisha Maoni