Featured

Mtuhumiwa kesi ya Mwangosi akana Ungamo Lake Mahakamani


Mtuhumiwa wa mauaji ya aliyekuwa mwandishi wa habari wa Chanel Ten mkoani hapa, Daudi Mwangosi, Pacificus Simoni ametoa ushahidi wake mbele ya mahakama na kuieleza kuwa alilazimishwa kusaini ungamo mbele ya mlinzi wa amani bila kujua nini kilichoandikwa.

Mabaki ya EgyptAir yapatikana



Mabaki ya ndege ya EgyptAir yapatikana

Mamlaka ya Misri inasema mabaki ya ndege ya EgyptAir ambayo ilianguka katika bahari ya Mediteranian mwezi uliopita ikiwa imebeba abiria sitini na sita yameweza kubainika yalipo.

Hakika baada ya MUNGU ni .......tazama hii Roboti kupokea wageni hospitalini Ubelgiji


  • Saa 4 zilizopita
Pepper 
 
Roboti kwa jina Pepper, iliyotengenezwa kuelewa hisia za watu inatarajiwa kuanza kazi mpya kama karani wa mapokezi katika hospitali mbili nchini Ubelgiji.

Tazama picha ya wapenzi wa JINSIA MOJA baada ya wenzao kuuwawa katika shambulio la Orlando






Dunia imekwisha Usisahau kumshirikisha mwenzio kwa ku SHARE na ku LIKE iliuendelee kupata habari za mahali popote na Dunia kwa ujumla.

Na Mathayo Mapalilo

Muhubiri anayetaka wapenzi wa jinsia moja kuuawa aondoka Australia


  • Saa moja iliyopita
Sekaleshfar
 
Muhubiri mmoja wa kiislamu ambaye alisema kwamba wapenzi wa jinsia moja wanafaa kuuawa ameondoka nchini Australia.
Kiongozi huyo ambaye ni mzaliwa wa Uingereza Farrokh Sekaleshfar alikuwa mwalimu katika shule moja karibu na Orlando ,Florida mnamo mwezi Aprili an alinukuliwa akitoa matamshi hayo siku moja kabla ya shambulio la Orlando.
Alikuwa amezuru Australia kama mgeni wa Imam Hussein wa kituo cha kiislamu cha Sidney.
Vyombo vya habari viliripoti siku ya Jumatano kwamba Sheikh Sekaleshfar aliondoka nchini humo baada ya waziri mkuu Malcom Turnbull kutaka visa yake ichunguzwe.
Wapenzi wa jinsia moja baada ya shambulio la Orlando
Waziri wa Australia Peter Dutton amesema kuwa alifutilia mbali visa ya Sekaleshfar na kwamba itakuwa vigumu kurudi nchini humo.
Lakini bw Dutton ametetea idara yake dhidi ya madai kwamba visa ya kiongozi huyo wa dini haifai kuidhinishwa.

Chanzo BBC

Obama amshtumu Trump kuhusu kuwazuia Waislamu


  • Dakika 13 zilizopita
Rais wa Marekani, Barack Obama
 
Rais wa Marekani, Barack Obama, ameshtumu vikali matamshi ya mgombea urais kwa tiketi ya chama cha Republican, Donald Trump, kwamba waislamu wasiruhusiwe kuingia Marekani. Obama amesema hiyo 'si marekani wanayohitaji.'

Simanzi ya tanda.... Orlando


  • Saa moja iliyopita
 
Mkesha Orlando 
 
Mkesha umefanyika huko Orlando mjini Florida pamoja na maeneo tofauti duniani ili kuwakumbuka waathiriwa wa shambulio katika kilabu moja ya usiku ya wapenzi wa jinsia moja.

Matamshi ya chuki: Wabunge 6 wakamatwa Kenya


  • Dakika 23 zilizopita
Bunge la Kenya 
 
Wabunge sita nchini Kenya wanatarajiwa kuwasilishwa mahakamani kufuatia madai ya kutoa matamshi ya chuki.

Malecela Aendelea Kuijadili Serikali ya Magufuli...


Waziri Mkuu mstaafu, John Malecela amesema Serikali ya Rais John Magufuli imeanza vizuri mikakati yake na imejengwa katika misingi ya kila kiongozi kuwa na wajibu wa kumhudumia Mtanzania.

Tundu Lissu na Mhariri wa Mawio kizimbani Leo Kwa Uchochezi


Serikali itawafikisha Mahakama ya Kisutu leo, Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu na mmiliki wa gazeti lililofungiwa la Mawio, Simon Mkina kwa kuandika habari za uchochezi.

Rais Obama afunguka mauaji ya Orlando


  • Dakika Chache zilizopita
Rais Obama amesema Mateen hakushawishiwa kutoka nje
Rais wa Marekani, Barack Obama amesema hakuna ushahidi kuwa aliyetekeleza mashambulizi kwenye klabu ya usiku mjini Orlando alikuwa sehemu ya mpango mkubwa wa mashambulizi.
Obama ameeleza shambulio hilo lilisukumwa na msimamo binafsi wa mshambuliaji huyo na hakuna ushahidi kuwa Omar Mateen alipata maelekezo kutoka nje kutekeleza mauaji.

'Waislamu hawafai kuingia Marekani' -Trump

.Saa 6 zilizopita Mgombea wa kiti cha urais wa chama cha Republican nchini Marekani Donald Trump

Mgombea wa kiti cha urais wa chama cha Republican nchini Marekani Donald Trump, amesema mauaji ya watu 50 katika baa moja ya wapenzi wa jinsia moja huko Orlando inathibitisha msimamo wake kwamba waislamu wapigwe marufuku kukanyaga ardhi ya Marekani.

Hatari sana Tazama picha 12 za shambulio la mauaji ya huko Orlando Marekani......













Godbless Lema Amnyooshea Kidole Mwigulu Nchemba



     Mwigulu Nchemba

WAKATI  Rais Dk. John Magufuli akitarajiwa kumwapisha Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba, Ikulu, Dar es Salaam leo, Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema (Chadema) amemnyooshea kidole waziri huyo.

Inasikitisha hii mpaka Rais Obama alaani mauaji ya Orlando


  • Saa 4 zilizopita
Rais wa Marekani,Barack Obama amelaani mauaji yaliyotokea Orlando 
 
Rais wa Marekani,Barack Obama amesema shambulio la risasi katika Klabu ya usiku mjini Orlando ni la kigaidi na ni kitendo cha chuki
Takriban watu 50 wamepoteza maisha na wengine 53 wamejeruhiwa siku ya Jumapili, baada ya mtu mmoja aliyekuwa na silaha kufyatulia risasi Klabu moja ya usiku iliyokuwa ikiwakutanisha watu wa mapenzi ya jinsia moja mjini Orlando nchini Marekani.

Wanafunzi wapata kazi ona hii........

Wakazi wa kijiji cha Manga kilichopo kata ya Mkata wilayani Handeni wameiomba serikali kuingilia kati kufuatia walimu wawili wa shule ya msingi Kwedichocho kuacha kazi tangu mwishoni mwa jana na kuwaacha wanafunzi wakifundishwa na wanafunzi wenzao wawili wa darasa la saba kufuatia vitongoji vyao pamoja na shule kuuzwa kwa mwekezaji ikidaiwa kuwa ipo maeneo katika kijiji kingine kinachojulikana kwa jina la Mazingara.

Hatari hii Basi la Mwendokasi Laua Mlemavu Kariakoo

SeeBait

Mlemavu wa viungo amegongwa na basi la mwendokasi na kufa papo hapo usiku huu, eneo la Kariakoo.

Hawara wa Mfanyakazi wa ndani Atiwa Mbaroni Akihusishwa na Mauaji ya Aneth Msuya ( Dada wa Bilionea Msuya )


Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limewakamata watu wengine wawili, akiwamo mpenzi wa mfanyakazi wa ndani wa Aneth Msuya, aliyeuawa kwa kuchinjwa nyumbani kwake.

Zitto Kabwe Awachokonoa Wabunge Wenzake..Ataka Posho zao Zikatwe Kodi


Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amewachokoza tena wabunge baada ya kuitaka Serikali kuanza kukata kodi katika posho za wawakilishi hao ili kuongeza wigo wa mapato.

Hii sifa sasa......Mwanamuziki Young Killer Nae Kusaini WCB? Hili Ndio Jibu Lake


Hivi karibuni kulizuka tetesi kuwa huenda Young Killer akawa msanii mwingine atakayeungana na timu ya WCB.

Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Bajeti, Hawa Ghasia Akataa Wabunge Kukatwa Kodi Katika Kiinua Mgongo


Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Bajeti Hawa Ghasia amedai kuwa kuwakata kodi kwenye viinua mgongo ni kuwakata kodi mara mbili kwa kuwa wanakatwa kodi tayari kwenye mishahara yao na ametakaserikali kufikiria tena suala hilo.

Uhuru autaka upinzani katika mazungumzo


  • Dakika 8 zilizopita
Rais Uhuru Kenyatta 
 
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amesisitiza kuwa serikali haitaruhusu maandamano ya ghasia akitaja yale yanayofanywa na chama cha Upinzani Cord ambayo yamegeuka na kuwa maandamano na maafisa wa polisi.

Makamu wa rais wa Maldives jela miaka 15


  • Saa moja iliyopita
Adeed apatikana na hatia ya kupanga njama ya kumuua rais wa nchi hiyo. 
 
Aliyekuwa makamu wa rais wa Maldives, amehukumiwa kifungo cha miaka kumi na mitano gerezani, baada ya kupatikana na hatia ya kupanga njama ya kumuua rais wa nchi hiyo.

Wasichana 500 wa Tanzania wanatumika Asia

  • Dakika 58 zilizopita
Wasichana 500 wa Tanzania wanatumika Asia 
 
Serikali ya Tanzania imesema zaidi ya wasichana 500 raia wa nchi hiyo wanatumikishwa katika kazi hatari zikiwemo za ukahaba katika nchi za Asia na Uarabuni.

Vijana, Wadau Kumchangia aliyemtukana Rais Magufuli



Vijana, wadau na wanaharakati wamefungua vikundi vya mtandao wa kijamii kwa ajili ya kuchanga fedha za kumsaidia kijana wa Arusha aliyepatikana na hatia ya kumtukana Rais na kuhukumiwa faini ya Sh7 milioni au kifungo.

Maandamano yashuhudiwa Kenya


  • Saa 2 zilizopita
 
 Mtu mmoja anaripotiwa kuuawa Kisumu 
 
Waandamanaji wa upinzani nchini Kenya wamefunga barabara kwa kuchoma magurudumu katika mji wa Kisumu ulio magharibi mwa nchi hiyo.

Rais wa Somalia azuru kambi ya wakimbizi Daadab

  • Dakika 47 zilizopita
Rais wa Somalia azuru kambi ya wakimbizi Daadab 
 
Rais wa Somalia Hassan Sheikh Mohamoud amewasili katika kambi ya wakimbizi ya Daadab ambayo iko Kaskazini Mashariki mwa Kenya.

Tanzania Imetolewa na Misri Michuano ya AFCON 2017



June 4 2016 ilikuwa ni siku ambayo timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars itacheza mchezo wake wa tatu wa Kundi G wa kuwania kufuzu michuano ya mataifa ya Afrika 2017 AFCON, kwa kucheza na timu ya taifa ya Misri The Pharaos uwanja wa Taifa Dar es Salaam. Huu ni mchezo ambao Taifa Stars alikuwa anahitaji ushindi wa aina yoyote ile.

Makubwa haya Waliotimuliwa Udom Waibuka, Watoa ya Moyoni


Jana wawakilishi wa wanafunzi hao ambao waliambatana na viongozi wa

Mtandao wa Wanafunzi Tanzania (TSNP), walisema wanapinga pia hatua ya kutimuliwa chuoni.

Dar/Dodoma. Sakata Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom) limezidi kupanuka baada ya wanafunzi waliorudishwa nyumbani kupinga kuitwa vilaza.

Pigania Ndoa Yako Si Michepuko ya Mumeo..


NIMEIKUTA MAHALI NIKAONA NI VIZURI KU-SHARE

Kuna dada mmoja nikikuwa namfahamu miaka mingi sana. Kama miama 15. Kipindi hicho tukiwa ni wasichana wa miaka 25. Dada huyo ghafla akawa na mahusiano na mume wa dada yangu. Nilimchukia sana. Dada yangu alimchukia sana. Wote tulimchukia. Alikuwa mlevi. Malaya na anayependa kuvaa uchi. Hakuwa anajijali hata kidogo.

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani Ya Nchi , Hamad Yussuf Masauni Alalamikiwa na Wabunge Kwa Kutoa Majibu ya Dharau na Kiburi Kwa Wabunge



SIKU chache baada ya Rais John Magufuli kutengua uteuzi wa aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Charles Kitwanga kutokana na ulevi, Naibu Waziri wa Wizara hiyo, Hamad Yussuf Masauni, ameshtakiwa kwa uongozi wa Bunge akidaiwa kutoa majibu ya dharau bungeni.

Hatari hii Paris yakumbwa na Mafuriko


  • Dakika 30 zilizopita
Mafuriko nchini Ufaransa 
 
Mto Seine ulioko mjini Paris, Ufaransa, umejaa na kufikia kima cha juu zaidi kuwahi kutokea kwa zaidi ya miaka 30 iliyopita.

Maji yamefurika hadi kwenye barabara na kulazimisha makazi kadhaa na maeneo ya makaburi kufungwa.
Waziri wa Mazingira, Segolene Royale, amewaonya watu kukaa katika hali ya tahadhari wakati huu ambapo Mto Seine unazidi kupanda.
Amesema kuwa ingawa kima cha maji katikati mwa jiji la Paris kinazidi kupunguka lakini kutoweka kwa maji kutafichua madhara mengi zaidi.
Watu walioadhirika na mafuriko Paris
Katika eneo la makavazi la Louvre, wafanyakazi wamekuwa waking'ang'ana kuokoa vifaa mbalimbali vya zamani kuhakikisha kuwa haviharibiwi na maji.

Mohammed Ali Afariki


  • Dakika 13 zilizopita
 
Mohamed Ali 
 
Aliyeluwa bondia wa kwanza maarufu mweney asili ya Kiafrika, Mohammed Ali, wa Marekani amefariki leo asubuhi akiwa na umri wa miaka 74.

Taarifa toka Ikulu kuhusu uteuzi Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi TANESCO

TAARIFA KWA UMMA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli, amemteua Dkt. Alex L. Kyaruzi kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO).
Newer Posts Older Posts
© Copyright MATMEDIA.COM Published.. Blogger Templates
Back To Top