Featured

Kesi dhidi ya Messi yaanza Uhispania


Saa 2 zilizopita
  
Messi anatarajiwa mahakamani siku ya Alhamis. 
 
Mahakama kuu ya Uhispania imeanza kusikiza kesi ya tuhuma za kukwepa kulipa kodi dhidi ya mchezaji nyota duniani Lionel Messi.

Sudan yawafukuza raia 442 wa Eritrea


  • Saa 4 zilizopita
 
Omar el Bashir 
 
Serikali ya Sudan imewafurusha takriban raia 442 wa Eritrea ikiwemo wakimbizi sita waliosajiliwa kurudi nchini mwao mwezi huu kulingana na kundi moja la haki za kibinaadamu la Human Rights Watch.

Maandamano ya Biafra: Watu 7 wauawa Nigeria


Saa moja iliyopita

 
                  Maandamano ya Biafra 
 
Takriban watu saba waliuwawa siku ya Jumatatu mashariki mwa mji wa Asaba, nchini Nigeria katika vita dhidi ya watu wa jamii ya Biafra wanaotaka kujitenga na jeshi la taifa hilo kulingana shirika la habari la Associated Press ripoti.

Makubwa haya Katibu Mtendaji wa Tume ya Vyuo Vikuu (TCU) Profesa Tunus Mgaya Aliyesimamishwa Kazi na Waziri wa Elimu Afunguka Mambo Mazito

ALIYEKUWA Katibu Mtendaji wa Tume ya Vyuo Vikuu (TCU), Profesa Tunus Mgaya amesema amesikitishwa na taarifa zilizoandikwa katika vyombo vya habari za kukosoa maamuzi ya serikali ya kuwasimamisha kazi kuwa hayakuzingatia sheria na kanuni zilizowekwa.

Mke wa Trafiki Kinyogori Adaiwa Kukiri Kumuua Mumewe


MKE wa askari polisi wa kikosi cha usalama barabarani (trafiki), Sajenti Ally Salum (Kinyogori) aliyeuawa hivi karibuni, inadaiwa amekiri kuhusika kwenye mauaji hayo, akidai ilitokana na mumewe kumuacha na kuoa mke mwingine.

Mashambulizi ya kujitoa mhanga yaua 20 Iraq

Saa 3 zilizopita

Wanamgambo wa IslAmic state wameendesha misururu ya mashambulizi ya mabomu ya kutegwa ndani ya magari ndani na nje mwa mji mkuu Baghdad ambayo yamesababisha vifo vya takriban watu 20.

Harmonize hatari nyingine WCB Kaamua Amwimbie Mpenzi wake Wolper


Penzi la Harmonize na Wolper lnazidi pamba moto hadi imefikia mpaka Harmonize kumtambulisha Wolper kwa mama yake mzazi. Harmonize alimtambulisha Wolper kwa mama yake mzazi akiwa katika show yake huko Mtwara.

Hii ni EXCLUSIVE: Aunty Ezekiel Kaelezea Siku Mose Iyobo Alipohisi Mtoto Sio Wake


Mwigizaji Aunty Ezekiel amekaa kwenye Exclusive ya AyoTV na kuelezea vitu kadhaa kwenye mapenzi yake na Dancer wa Diamond Platnumz  Mose Iyobo ambapo miongoni mwa alivyoongelea ni pamoja na siku ambayo Mose alihisi ujauzito aliokua nao Aunty sio wa mtoto wake.

‘Kwanza Mose Iyobo aliniambia niitoe hii mimba nilipomuuliza kwanini akasema najua wewe Aunty Ezekiel huwezi kuzaa na mimi, akaniambia hajajipanga sababu ana mtoto mwingine, nilimwambia hii mimba ni yangu na kila afanye maisha yake kama ni hivyo….‘ – Aunty Ezekiel

Couple flee Iran to Dubai after intense crackdown on models posting 'un-Islamic' photos

A married couple managed to escape prosecution after they were caught up in Iran's crackdown on models posting 'un-Islamic' photos online. Professional MUA/model Elnaz Golrokh and her model husband, Hamid Fadaei fled the Islamic Republic in January when they were released on bail after the sweeping targeting of people as part of something called 'Spider II' operations.

A total of 170 people identified in the operation include 58 models, 59 photographers and makeup artists. Most of the Instagram and Facebook profiles of the models targeted have also been taken offline. Elnaz & Hamid were however able to successfully flee and now live in Dubai. 
More photos of the couple below..
Newer Posts
© Copyright MATMEDIA.COM Published.. Blogger Templates
Back To Top